Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Akawaambia: “Nendeni jijini kwa mwanamume fulani mkamwambie, ‘Mwalimu anasema: “Wakati wangu uliowekwa umekaribia; nitasherehekea Pasaka pamoja na wanafunzi wangu nyumbani kwako.”’” 19 Basi, wanafunzi wakafanya kama Yesu alivyowaagiza, wakaandaa Pasaka.

  • Marko 14:13-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo akawatuma wawili kati ya wanafunzi wake akawaambia: “Nendeni jijini, nanyi mtakutana na mwanamume akiwa amebeba mtungi wa maji. Mfuateni,+ 14 na popote atakapoingia, mwambieni mwenye nyumba, ‘Mwalimu anasema: “Kiko wapi chumba cha wageni ambamo ninaweza kula Pasaka pamoja na wanafunzi wangu?”’ 15 Naye atawaonyesha chumba kikubwa cha juu, chenye vifaa na kilichotayarishwa. Tuandalieni humo.” 16 Basi wanafunzi wakaenda, wakaingia jijini na kupata kama alivyowaambia, nao wakaandaa Pasaka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki