Yohana 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Sasa ninataabika,*+ nami niseme nini? Baba, niokoe kutoka katika saa hii.+ Hata hivyo, ndiyo sababu nimekuja kwenye saa hii. Waebrania 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.
27 Sasa ninataabika,*+ nami niseme nini? Baba, niokoe kutoka katika saa hii.+ Hata hivyo, ndiyo sababu nimekuja kwenye saa hii.
7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.