Hosea 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mahali pa juu pa Beth-aveni,+ dhambi ya Waisraeli,+ pataharibiwa kabisa.+ Miiba na michongoma itamea juu ya madhabahu zao.+ Watu wataiambia milima, ‘Tufunikeni!’ Na vilima, ‘Tuangukieni!’+
8 Mahali pa juu pa Beth-aveni,+ dhambi ya Waisraeli,+ pataharibiwa kabisa.+ Miiba na michongoma itamea juu ya madhabahu zao.+ Watu wataiambia milima, ‘Tufunikeni!’ Na vilima, ‘Tuangukieni!’+