Luka 23:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ndipo wataanza kuiambia milima, ‘Tuangukieni!’ na vilima, ‘Tufunikeni!’+ Ufunuo 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nao wanaendelea kuiambia milima na miamba: “Tuangukieni,+ mtufiche kutoka kwenye uso wa Yule anayeketi kwenye kile kiti cha ufalme+ na kutoka kwenye ghadhabu ya Mwanakondoo,+
16 Nao wanaendelea kuiambia milima na miamba: “Tuangukieni,+ mtufiche kutoka kwenye uso wa Yule anayeketi kwenye kile kiti cha ufalme+ na kutoka kwenye ghadhabu ya Mwanakondoo,+