Hosea 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mahali pa juu pa Beth-aveni,+ dhambi ya Waisraeli,+ pataharibiwa kabisa.+ Miiba na michongoma itamea juu ya madhabahu zao.+ Watu wataiambia milima, ‘Tufunikeni!’ Na vilima, ‘Tuangukieni!’+ Luka 23:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ndipo wataanza kuiambia milima, ‘Tuangukieni!’ na vilima, ‘Tufunikeni!’+
8 Mahali pa juu pa Beth-aveni,+ dhambi ya Waisraeli,+ pataharibiwa kabisa.+ Miiba na michongoma itamea juu ya madhabahu zao.+ Watu wataiambia milima, ‘Tufunikeni!’ Na vilima, ‘Tuangukieni!’+