Yohana 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baada ya kusema hayo, akageuka na kumwona Yesu akiwa amesimama hapo, lakini hakutambua kwamba ni Yesu.+ Yohana 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, kulipoanza kupambazuka, Yesu alisimama kando ya bahari, lakini wanafunzi hawakutambua ni Yesu.+
14 Baada ya kusema hayo, akageuka na kumwona Yesu akiwa amesimama hapo, lakini hakutambua kwamba ni Yesu.+
4 Hata hivyo, kulipoanza kupambazuka, Yesu alisimama kando ya bahari, lakini wanafunzi hawakutambua ni Yesu.+