Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Basi mlikaribia na kusimama chini ya mlima, na mlima huo ulikuwa ukiwaka moto uliofika mpaka mbinguni; kulikuwa na giza, wingu, na utusitusi mzito.+ 12 Yehova akaanza kuzungumza nanyi kutoka katika moto.+ Mlisikia maneno, lakini hamkuona umbo lolote+—kulikuwa na sauti tu.+

  • Yohana 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa pekee+ aliye kando ya Baba,*+ ndiye ameeleza kumhusu.+

  • Yohana 6:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Hakuna mwanadamu yeyote ambaye amemwona Baba,+ ila yule aliyetoka kwa Mungu; huyo amemwona Baba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki