14 Yeyote atakayekunywa maji nitakayompa hatakuwa na kiu kamwe,+ kwa sababu maji ambayo nitampa yatakuwa kama chemchemi ya maji ndani yake, inayobubujika ili kumpa uzima wa milele.”+
17 Na roho na bibi harusi+ huendelea kusema, “Njoo!” na yeyote anayesikia na aseme, “Njoo!” na yeyote aliye na kiu aje;+ yeyote anayetaka achukue maji ya uzima bure.+