Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yeyote atakayekunywa maji nitakayompa hatakuwa na kiu kamwe,+ kwa sababu maji ambayo nitampa yatakuwa kama chemchemi ya maji ndani yake, inayobubujika ili kumpa uzima wa milele.”+

  • Yohana 7:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Katika siku ya mwisho, siku kuu ya sherehe,+ Yesu alisimama na kusema kwa sauti kubwa: “Ikiwa yeyote ana kiu, na aje kwangu anywe maji.+

  • Ufunuo 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na roho na bibi harusi+ huendelea kusema, “Njoo!” na yeyote anayesikia na aseme, “Njoo!” na yeyote aliye na kiu aje;+ yeyote anayetaka achukue maji ya uzima bure.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki