Yohana 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yeyote atakayekunywa maji nitakayompa hatakuwa na kiu kamwe,+ kwa sababu maji ambayo nitampa yatakuwa kama chemchemi ya maji ndani yake, inayobubujika ili kumpa uzima wa milele.”+ Yohana 6:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yesu akawaambia: “Mimi ndio mkate wa uzima. Yeyote anayekuja kwangu hatapata njaa kamwe, na yeyote anayeniamini hatapata kiu kamwe.+
14 Yeyote atakayekunywa maji nitakayompa hatakuwa na kiu kamwe,+ kwa sababu maji ambayo nitampa yatakuwa kama chemchemi ya maji ndani yake, inayobubujika ili kumpa uzima wa milele.”+
35 Yesu akawaambia: “Mimi ndio mkate wa uzima. Yeyote anayekuja kwangu hatapata njaa kamwe, na yeyote anayeniamini hatapata kiu kamwe.+