Mathayo 11:28, 29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Njooni kwangu, nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo, nami nitawaburudisha. 29 Chukueni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu moyoni,+ nanyi mtapata burudisho kwa ajili yenu.* Yohana 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Nimelifunua* jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika* neno lako.
28 Njooni kwangu, nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo, nami nitawaburudisha. 29 Chukueni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu moyoni,+ nanyi mtapata burudisho kwa ajili yenu.*
6 “Nimelifunua* jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika* neno lako.