Yoeli 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha nitaimimina roho yangu+ juu ya kila aina ya mwili,Na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii,Na wanaume wenu wazee wataota ndoto,Na wanaume wenu vijana wataona maono.+ Yohana 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata hivyo, ninawaambia ukweli, ninaenda zangu kwa faida yenu. Kwa maana nisipoenda, msaidizi+ hatakuja kwenu; lakini nikienda, nitamtuma kwenu. Matendo 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ‘“Na katika siku za mwisho,” Mungu asema, “Nitaimimina sehemu ya roho yangu juu ya kila aina ya mwili, na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii, nao wanaume wenu vijana wataona maono, na wanaume wenu wazee wataota ndoto,+
28 Kisha nitaimimina roho yangu+ juu ya kila aina ya mwili,Na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii,Na wanaume wenu wazee wataota ndoto,Na wanaume wenu vijana wataona maono.+
7 Hata hivyo, ninawaambia ukweli, ninaenda zangu kwa faida yenu. Kwa maana nisipoenda, msaidizi+ hatakuja kwenu; lakini nikienda, nitamtuma kwenu.
17 ‘“Na katika siku za mwisho,” Mungu asema, “Nitaimimina sehemu ya roho yangu juu ya kila aina ya mwili, na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii, nao wanaume wenu vijana wataona maono, na wanaume wenu wazee wataota ndoto,+