16 Mwanzoni, wanafunzi wake hawakuelewa mambo hayo, lakini Yesu alipotukuzwa,+ wakakumbuka kwamba mambo hayo yalikuwa yameandikwa kumhusu na kwamba walimtendea mambo hayo.+
31 Kwa hiyo alipoondoka, Yesu akasema: “Sasa Mwana wa binadamu ametukuzwa,+ na Mungu ametukuzwa kuhusiana naye. 32 Mungu mwenyewe atamtukuza,+ naye atamtukuza mara moja.
16 Kwa kweli, siri takatifu ya huu ujitoaji-kimungu* ni kubwa: ‘Alifunuliwa katika mwili,+ alitangazwa kuwa mwadilifu katika roho,+ aliwatokea malaika,+ alihubiriwa kati ya mataifa,+ watu walimwamini ulimwenguni,+ akapokewa mbinguni kwa utukufu.’