6 Kwa maana tunajua kwamba utu wetu wa zamani ulitundikwa mtini pamoja naye,+ ili mwili wetu wenye dhambi usiwe na nguvu,+ ili tusiendelee kuwa watumwa wa dhambi.+
16 Je, hamjui kwamba mkijitoa kwa yeyote kuwa watumwa watiifu, ninyi ni watumwa wa yule mnayemtii,+ ama watumwa wa dhambi+ inayotokeza kifo+ au wa utii unaotokeza uadilifu?