Zaburi 51:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Nilizaliwa nikiwa na hatia ya kosa,Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.*+ Yohana 8:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu akawajibu: “Kwa kweli ninawaambia, kila mtu anayetenda dhambi ni mtumwa wa dhambi.+ Waroma 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Je, hamjui kwamba mkijitoa kwa yeyote kuwa watumwa watiifu, ninyi ni watumwa wa yule mnayemtii,+ ama watumwa wa dhambi+ inayotokeza kifo+ au wa utii unaotokeza uadilifu?
16 Je, hamjui kwamba mkijitoa kwa yeyote kuwa watumwa watiifu, ninyi ni watumwa wa yule mnayemtii,+ ama watumwa wa dhambi+ inayotokeza kifo+ au wa utii unaotokeza uadilifu?