-
Wakolosai 1:15-17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Yeye ndiye mfano wa Mungu asiyeonekana,+ mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote;+ 16 kwa sababu kupitia kwake vitu vingine vyote viliumbwa mbinguni na duniani, vitu vinavyoonekana na vitu visivyoonekana,+ iwe ni viti vya ufalme au utawala au serikali au mamlaka. Vitu vingine vyote vimeumbwa kupitia kwake+ na kwa ajili yake. 17 Pia, yeye ni wa kabla ya vitu vingine vyote,+ na kupitia kwake vitu vingine vyote vilifanywa kuwapo,
-