1 Hapo mwanzo Neno alikuwako,+ naye Neno alikuwa pamoja na Mungu,+ na Neno alikuwa mungu.+ 2 Mwanzoni yeye alikuwa pamoja na Mungu. 3 Vitu vyote vilikuja kuwako kupitia kwake,+ na bila yeye hakuna hata kitu kimoja kilichokuja kuwako.
Kile ambacho kimekuja kuwako