Isaya 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mtoto amezaliwa kwetu,+Tumepewa mwanaNa utawala* utakaa juu ya bega lake.+ Jina lake litakuwa Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele, Mkuu wa Amani. Yohana 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa pekee+ aliye kando ya Baba,*+ ndiye ameeleza kumhusu.+ Wafilipi 2:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Iweni na mtazamo huu wa akili ambao pia Kristo Yesu alikuwa nao,+ 6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+
6 Kwa maana mtoto amezaliwa kwetu,+Tumepewa mwanaNa utawala* utakaa juu ya bega lake.+ Jina lake litakuwa Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele, Mkuu wa Amani.
18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa pekee+ aliye kando ya Baba,*+ ndiye ameeleza kumhusu.+
5 Iweni na mtazamo huu wa akili ambao pia Kristo Yesu alikuwa nao,+ 6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+