28 Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati ukashangazwa na njia yake ya kufundisha,+29 kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka,+ na si kama waandishi wao.
42 Malkia wa kusini atasimamishwa katika hukumu pamoja na kizazi hiki naye atakihukumu, kwa sababu alikuja kutoka miisho ya dunia ili asikie hekima ya Sulemani.+ Lakini tazama! hapa pana mtu mkuu kuliko Sulemani.+