Luka 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Malaika akamjibu: “Roho takatifu itakuja juu yako,+ na nguvu za Aliye Juu Zaidi zitakufunika. Kwa hiyo yule atakayezaliwa ataitwa mtakatifu,+ Mwana wa Mungu.+ Luka 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa sababu leo katika jiji la Daudi,+ amezaliwa mwokozi+ ambaye ni Kristo, Bwana.+
35 Malaika akamjibu: “Roho takatifu itakuja juu yako,+ na nguvu za Aliye Juu Zaidi zitakufunika. Kwa hiyo yule atakayezaliwa ataitwa mtakatifu,+ Mwana wa Mungu.+