Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+

  • Zaburi 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Akisema: “Mimi mwenyewe nimemweka mfalme wangu+

      Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”

  • Zekaria 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yeye ndiye atakayelijenga hekalu la Yehova, na ndiye atakayepokea utukufu. Ataketi kwenye kiti chake cha ufalme na kutawala, naye atakuwa pia kuhani kwenye kiti chake cha ufalme,+ na kutakuwa na mapatano ya amani kati ya hivyo viwili.*

  • Luka 22:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 nami ninafanya agano pamoja nanyi, kama Baba yangu alivyofanya agano pamoja nami, kwa ajili ya ufalme,+

  • Ufunuo 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kwenye vazi lake la nje, ndiyo, kwenye paja lake, ana jina lililoandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki