17 Akamuuliza mara ya tatu: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda?” Petro akahuzunika kwamba alimuuliza mara ya tatu: “Je, unanipenda?” Kwa hiyo akamjibu: “Bwana, wewe unajua mambo yote; unajua kwamba ninakupenda.” Yesu akamwambia: “Lisha kondoo wangu wadogo.+