24 Kwa kweli ninawaambia, yeyote ambaye husikia neno langu na kumwamini Yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye hahukumiwi bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia kwenye uzima.+
17Yesu akasema mambo hayo, kisha akatazama mbinguni na kusema: “Baba, saa imefika. Mtukuze mwana wako ili mwana wako akutukuze,+2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili,*+ ili awape uzima wa milele+ wote ambao umempa.+