Luka 19:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Alipokaribia jiji la Yerusalemu, akalitazama na kulililia,+ Waebrania 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kuusikitikia udhaifu wetu,+ bali tuna yule ambaye amejaribiwa katika mambo yote kama tulivyojaribiwa, lakini hakutenda dhambi.+
15 Kwa maana hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kuusikitikia udhaifu wetu,+ bali tuna yule ambaye amejaribiwa katika mambo yote kama tulivyojaribiwa, lakini hakutenda dhambi.+