Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na bado baadhi yenu mlikuwa hivyo. Lakini mmeoshwa mkawa safi;+ mmetakaswa;+ mmetangazwa kuwa waadilifu+ katika jina la Bwana Yesu Kristo na kwa roho ya Mungu wetu.

  • Waefeso 5:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Enyi waume, endeleeni kuwapenda wake zenu,+ kama vile Kristo pia alivyolipenda kutaniko na kujitoa mwenyewe kwa ajili yake,+ 26 ili alitakase, akilisafisha na kuliosha kwa maji kupitia neno,+

  • Tito 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 (si kwa sababu ya matendo yoyote ya uadilifu tuliyokuwa tumefanya,+ bali kwa sababu ya rehema yake),+ alituokoa kupitia kuoshwa kulikotuleta kwenye uzima,+ na kwa kutufanya wapya kupitia roho takatifu.+

  • Waebrania 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 acheni tukaribie tukiwa na mioyo minyoofu na imani kamili, mioyo yetu ikiwa imenyunyizwa na kuwa safi kutokana na dhamiri yenye uovu+ na miili yetu ikiwa imeoshwa kwa maji safi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki