Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Msiwe na deni lolote kwa mtu yeyote, isipokuwa kupendana,+ kwa maana yeyote anayempenda mwanadamu mwenzake ameitimiza sheria.+

  • 1 Wakorintho 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Upendo haushindwi kamwe. Lakini kama kuna zawadi za unabii, zitaondolewa; kama kuna lugha,* zitakoma; kama kuna ujuzi, utaondolewa.

  • 1 Wakorintho 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hata hivyo, sasa yanabaki mambo haya matatu: imani, tumaini, upendo; lakini lililo kubwa zaidi kati ya hayo ni upendo.+

  • 1 Yohana 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yeyote akisema, “Ninampenda Mungu,” na bado anamchukia ndugu yake, yeye ni mwongo.+ Kwa maana mtu ambaye hampendi ndugu yake,+ ambaye amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hajamwona.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki