Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hata hivyo, mtakapopelekwa, msihangaike kuhusu jambo mtakalosema au jinsi mtakavyolisema, kwa sababu mtapewa jambo la kusema katika saa hiyo;+ 20 kwa maana si ninyi tu mnaosema, bali ni roho ya Baba yenu inayosema kupitia ninyi.+

  • Yohana 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hata hivyo, huyo* atakapokuja, roho ya ile kweli,+ atawaongoza ninyi kwenye kweli yote, kwa maana hatasema kwa uamuzi wake mwenyewe, bali atasema mambo anayosikia, naye atawatangazia mambo yanayokuja.+

  • 1 Wakorintho 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi, sisi hatukupokea roho ya ulimwengu, bali tulipokea roho inayotoka kwa Mungu,+ ili tuyajue mambo ambayo Mungu ametupatia kwa fadhili.

  • 1 Yohana 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kutiwa mafuta ambako mlipokea kutoka kwake+ hukaa ndani yenu, na hamhitaji kufundishwa na yeyote; lakini kutiwa mafuta kutoka kwake kunawafundisha kuhusu mambo yote,+ na ni kweli si uwongo. Kama kulivyowafundisha ninyi, kaeni katika muungano na yeye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki