Yohana 6:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Yeyote anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu hubaki katika muungano nami, nami katika muungano naye.+ 1 Wakorintho 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi ninyi ni mwili wa Kristo,+ na kila mmoja wenu ni kiungo cha mwili huo.+ Waefeso 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kupitia kwake mwili wote+ unaunganishwa na kushirikiana kila kiungo kinapofanya kazi yake. Na kila kiungo kinapofanya kazi vizuri, hilo linafanya mwili ukue na kujijenga katika upendo.+
56 Yeyote anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu hubaki katika muungano nami, nami katika muungano naye.+
16 Kupitia kwake mwili wote+ unaunganishwa na kushirikiana kila kiungo kinapofanya kazi yake. Na kila kiungo kinapofanya kazi vizuri, hilo linafanya mwili ukue na kujijenga katika upendo.+