Mathayo 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Vivyo hivyo, acheni nuru yenu iangaze mbele ya watu,+ ili waone matendo yenu mema+ na kumtukuza Baba yenu aliye mbinguni.+ Yohana 13:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa jambo hili wote watajua kwamba ninyi ni wanafunzi wangu—mkiwa na upendo miongoni mwenu.”+ Wafilipi 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na hili ndilo ninaloendelea kusali, kwamba upendo wenu uwe mwingi zaidi na zaidi+ pamoja na ujuzi sahihi+ na utambuzi kamili;+ Wafilipi 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na kwamba mjazwe tunda la uadilifu, ambalo ni kupitia Yesu Kristo,+ kwa utukufu na sifa kwa Mungu.
16 Vivyo hivyo, acheni nuru yenu iangaze mbele ya watu,+ ili waone matendo yenu mema+ na kumtukuza Baba yenu aliye mbinguni.+
9 Na hili ndilo ninaloendelea kusali, kwamba upendo wenu uwe mwingi zaidi na zaidi+ pamoja na ujuzi sahihi+ na utambuzi kamili;+
11 na kwamba mjazwe tunda la uadilifu, ambalo ni kupitia Yesu Kristo,+ kwa utukufu na sifa kwa Mungu.