Yohana 6:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Haya ndiyo mapenzi ya yule aliyenituma, kwamba nisipoteze yeyote kati ya wote alionipa, bali niwafufue+ katika siku ya mwisho. Yohana 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nilipokuwa pamoja nao nilikuwa nikiwatunza+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa; nami nimewalinda na hakuna hata mmoja wao aliyeangamizwa+ ila yule mwana wa maangamizi,+ ili andiko litimizwe.+
39 Haya ndiyo mapenzi ya yule aliyenituma, kwamba nisipoteze yeyote kati ya wote alionipa, bali niwafufue+ katika siku ya mwisho.
12 Nilipokuwa pamoja nao nilikuwa nikiwatunza+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa; nami nimewalinda na hakuna hata mmoja wao aliyeangamizwa+ ila yule mwana wa maangamizi,+ ili andiko litimizwe.+