Mathayo 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Baada ya kumfunga, wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato, gavana.+ Marko 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mara tu kulipopambazuka wakuu wa makuhani, wazee, na waandishi, yaani, Sanhedrini yote, wakashauriana pamoja na kumfunga Yesu, kisha wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato.+ Luka 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kisha umati huo wote ukasimama na kumpeleka Yesu kwa Pilato.+
15 Mara tu kulipopambazuka wakuu wa makuhani, wazee, na waandishi, yaani, Sanhedrini yote, wakashauriana pamoja na kumfunga Yesu, kisha wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato.+