Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wafalme wa dunia wanajipanga

      Na maofisa wakuu wanakusanyika* pamoja kama kitu kimoja+

      Dhidi ya Yehova na dhidi ya mtiwa-mafuta* wake.+

  • Mathayo 27:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ilipofika asubuhi, wakuu wote wa makuhani na wazee wa watu wakashauriana pamoja kumhusu Yesu ili auawe.+ 2 Baada ya kumfunga, wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato, gavana.+

  • Luka 22:66
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 66 Kulipokuwa mchana, kikundi cha wazee wa watu, yaani, wakuu wa makuhani na waandishi, wakakusanyika pamoja,+ nao wakampeleka katika jumba lao la Sanhedrini, na kumwambia:

  • Yohana 18:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha wakamtoa Yesu kwa Kayafa na kumpeleka kwenye makao ya gavana.+ Ilikuwa asubuhi mapema. Lakini wao hawakuingia ndani ya makao ya gavana, ili wasitiwe unajisi+ kwa sababu walitaka kula mlo wa Pasaka.

  • Matendo 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza Mtumishi wake,+ Yesu,+ ambaye ninyi mlimkabidhi+ na kumkana mbele ya Pilato, ingawa alikuwa ameamua kumfungua.

  • Matendo 4:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Wafalme wa dunia walijipanga nao watawala wakakusanyika pamoja kama kitu kimoja dhidi ya Yehova* na dhidi ya mtiwa-mafuta wake.’*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki