Zaburi 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wafalme wa dunia wanajipangaNa maofisa wakuu wanakusanyika* pamoja kama kitu kimoja+Dhidi ya Yehova na dhidi ya mtiwa-mafuta* wake.+ Mathayo 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ilipofika asubuhi, wakuu wote wa makuhani na wazee wa watu wakashauriana pamoja kumhusu Yesu ili auawe.+ Marko 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mara tu kulipopambazuka wakuu wa makuhani, wazee, na waandishi, yaani, Sanhedrini yote, wakashauriana pamoja na kumfunga Yesu, kisha wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato.+ Matendo 4:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Wafalme wa dunia walijipanga nao watawala wakakusanyika pamoja kama kitu kimoja dhidi ya Yehova* na dhidi ya mtiwa-mafuta wake.’*+
2 Wafalme wa dunia wanajipangaNa maofisa wakuu wanakusanyika* pamoja kama kitu kimoja+Dhidi ya Yehova na dhidi ya mtiwa-mafuta* wake.+
27 Ilipofika asubuhi, wakuu wote wa makuhani na wazee wa watu wakashauriana pamoja kumhusu Yesu ili auawe.+
15 Mara tu kulipopambazuka wakuu wa makuhani, wazee, na waandishi, yaani, Sanhedrini yote, wakashauriana pamoja na kumfunga Yesu, kisha wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato.+
26 Wafalme wa dunia walijipanga nao watawala wakakusanyika pamoja kama kitu kimoja dhidi ya Yehova* na dhidi ya mtiwa-mafuta wake.’*+