Yohana 18:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi Pilato akawaambia: “Mchukueni mkamhukumu kulingana na sheria yenu.”+ Wayahudi wakamwambia: “Si halali kwetu kumuua mtu yeyote.”+
31 Basi Pilato akawaambia: “Mchukueni mkamhukumu kulingana na sheria yenu.”+ Wayahudi wakamwambia: “Si halali kwetu kumuua mtu yeyote.”+