Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 13:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mmoja wa wanafunzi ambaye Yesu alimpenda,+ alikuwa ameketi mezani karibu na* Yesu.

  • Yohana 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda+ akamwambia Petro: “Ni Bwana!” Simoni Petro, aliposikia kwamba ni Bwana, akavaa* vazi lake la nje kwa maana alikuwa uchi,* akajitumbukiza baharini.

  • Yohana 21:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Petro alipogeuka, akamwona mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda+ akiwafuata, yule ambaye kwenye mlo wa jioni alikuwa ameegemea nyuma kifuani pa Yesu, akamuuliza: “Bwana, ni nani anayekusaliti?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki