Luka 24:1-3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, siku ya kwanza ya juma asubuhi na mapema, walienda kwenye kaburi,* wakiwa na manukato waliyotayarisha.+ 2 Lakini wakakuta jiwe limeviringishwa kutoka kwenye kaburi,*+ 3 nao walipoingia, hawakuupata mwili wa Bwana Yesu.+
24 Hata hivyo, siku ya kwanza ya juma asubuhi na mapema, walienda kwenye kaburi,* wakiwa na manukato waliyotayarisha.+ 2 Lakini wakakuta jiwe limeviringishwa kutoka kwenye kaburi,*+ 3 nao walipoingia, hawakuupata mwili wa Bwana Yesu.+