Mathayo 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Baada ya Sabato, kulipokuwa kukipambazuka siku ya kwanza ya juma, Maria Magdalene na yule Maria mwingine wakaenda kulitazama kaburi.+ Marko 16:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Baada ya Sabato+ kupita, Maria Magdalene, Maria+ mama ya Yakobo, na Salome wakanunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.+ 2 Asubuhi na mapema siku ya kwanza ya juma, jua lilipokuwa limechomoza, wakaenda kwenye kaburi.*+ Yohana 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Siku ya kwanza ya juma, Maria Magdalene alienda mapema kwenye kaburi,*+ kulipokuwa bado na giza, naye akaona jiwe limeondolewa kwenye kaburi.*+
28 Baada ya Sabato, kulipokuwa kukipambazuka siku ya kwanza ya juma, Maria Magdalene na yule Maria mwingine wakaenda kulitazama kaburi.+
16 Baada ya Sabato+ kupita, Maria Magdalene, Maria+ mama ya Yakobo, na Salome wakanunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.+ 2 Asubuhi na mapema siku ya kwanza ya juma, jua lilipokuwa limechomoza, wakaenda kwenye kaburi.*+
20 Siku ya kwanza ya juma, Maria Magdalene alienda mapema kwenye kaburi,*+ kulipokuwa bado na giza, naye akaona jiwe limeondolewa kwenye kaburi.*+