Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Baada ya Sabato+ kupita, Maria Magdalene, Maria+ mama ya Yakobo, na Salome wakanunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.+

  • Luka 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hata hivyo, siku ya kwanza ya juma asubuhi na mapema, walienda kwenye kaburi,* wakiwa na manukato waliyotayarisha.+

  • Luka 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Walikuwa Maria Magdalene, Yoana, na Maria mama ya Yakobo. Pia, wanawake wengine waliokuwa pamoja nao waliwaambia mitume mambo hayo.

  • Yohana 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Siku ya kwanza ya juma, Maria Magdalene alienda mapema kwenye kaburi,*+ kulipokuwa bado na giza, naye akaona jiwe limeondolewa kwenye kaburi.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki