Luka 24:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, siku ya kwanza ya juma asubuhi na mapema, walienda kwenye kaburi,* wakiwa na manukato waliyotayarisha.+ Yohana 20:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Siku ya kwanza ya juma, Maria Magdalene alienda mapema kwenye kaburi,*+ kulipokuwa bado na giza, naye akaona jiwe limeondolewa kwenye kaburi.*+
24 Hata hivyo, siku ya kwanza ya juma asubuhi na mapema, walienda kwenye kaburi,* wakiwa na manukato waliyotayarisha.+
20 Siku ya kwanza ya juma, Maria Magdalene alienda mapema kwenye kaburi,*+ kulipokuwa bado na giza, naye akaona jiwe limeondolewa kwenye kaburi.*+