Mathayo 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Atamzaa mwana, nawe utamwita jina Yesu,*+ kwa maana atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”+ Matendo 10:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Manabii wote walitoa ushahidi+ kumhusu, kwamba kila mtu anayemwamini hupokea msamaha wa dhambi kupitia jina lake.”+ Wafilipi 2:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa sababu hiyo, Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu kuliko kila jina lingine,+ 10 ili katika jina la Yesu kila goti lipigwe—la wale walio mbinguni na wale walio duniani na wale walio chini ya ardhi+—
21 Atamzaa mwana, nawe utamwita jina Yesu,*+ kwa maana atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”+
43 Manabii wote walitoa ushahidi+ kumhusu, kwamba kila mtu anayemwamini hupokea msamaha wa dhambi kupitia jina lake.”+
9 Kwa sababu hiyo, Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu kuliko kila jina lingine,+ 10 ili katika jina la Yesu kila goti lipigwe—la wale walio mbinguni na wale walio duniani na wale walio chini ya ardhi+—