Mathayo 27:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ndipo watu wote wakajibu: “Damu yake na iwe juu yetu na juu ya watoto wetu.”+ Matendo 3:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndiyo, mlimkana huyo aliye mtakatifu na mwadilifu, nanyi mkaomba mpewe mwanamume aliyekuwa muuaji,+ 15 lakini mkamuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Hata hivyo, Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, nasi ni mashahidi wa jambo hilo.+
14 Ndiyo, mlimkana huyo aliye mtakatifu na mwadilifu, nanyi mkaomba mpewe mwanamume aliyekuwa muuaji,+ 15 lakini mkamuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Hata hivyo, Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, nasi ni mashahidi wa jambo hilo.+