Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 5:27, 28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi wakawaleta na kuwasimamisha mbele ya Sanhedrini. Kisha kuhani mkuu akawahoji 28 akisema: “Tuliwakataza kabisa msifundishe kwa msingi wa jina hili,+ na bado tazama! mmejaza Yerusalemu fundisho lenu, nanyi mmeazimia kuileta damu ya mtu huyu juu yetu.”+

  • 1 Wathesalonike 2:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana, akina ndugu mliiga makutaniko ya Mungu yaliyo katika muungano na Kristo Yesu huko Yudea, kwa sababu mliteswa na wananchi wenzenu,+ kama vile wao pia wanavyoteswa na Wayahudi, 15 ambao hata walimuua Bwana Yesu+ na manabii na wakatutesa.+ Zaidi ya hayo, hawafanyi mambo yanayompendeza Mungu, na wanapinga mambo yanayowafaa wanadamu wote,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki