Isaya 54:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hakuna silaha yoyote itakayotokezwa dhidi yako itakayofanikiwa,+Nawe utauhukumu ulimi wowote utakaoinuka dhidi yako katika hukumu. Huu ndio urithi wa watumishi wa Yehova,Na uadilifu wao unatoka kwangu,” asema Yehova.+ Luka 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 kwa maana nitawapa maneno na hekima, ambayo wapinzani wenu wote kwa pamoja hawataweza kushindana nayo wala kubisha.+ Matendo 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi akina ndugu, jichagulieni kati yenu wanaume saba wenye sifa nzuri,+ waliojaa roho na hekima,+ ili tuwaweke rasmi wafanye kazi hii muhimu;+
17 Hakuna silaha yoyote itakayotokezwa dhidi yako itakayofanikiwa,+Nawe utauhukumu ulimi wowote utakaoinuka dhidi yako katika hukumu. Huu ndio urithi wa watumishi wa Yehova,Na uadilifu wao unatoka kwangu,” asema Yehova.+
15 kwa maana nitawapa maneno na hekima, ambayo wapinzani wenu wote kwa pamoja hawataweza kushindana nayo wala kubisha.+
3 Basi akina ndugu, jichagulieni kati yenu wanaume saba wenye sifa nzuri,+ waliojaa roho na hekima,+ ili tuwaweke rasmi wafanye kazi hii muhimu;+