Marko 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na watakapokuwa wakiwapeleka kuwashtaki, msihangaike kuhusu jambo mtakalosema; bali semeni jambo mtakalopewa saa hiyo, kwa maana si ninyi mnaosema, bali ni roho takatifu.+ Matendo 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sasa Stefano, akiwa amejaa kibali cha Mungu na nguvu, alikuwa akifanya mambo makubwa ya ajabu* na ishara kati ya watu. Matendo 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini hawakuweza kumshinda kwa sababu ya hekima yake na roho iliyomwongoza kusema.+
11 Na watakapokuwa wakiwapeleka kuwashtaki, msihangaike kuhusu jambo mtakalosema; bali semeni jambo mtakalopewa saa hiyo, kwa maana si ninyi mnaosema, bali ni roho takatifu.+
8 Sasa Stefano, akiwa amejaa kibali cha Mungu na nguvu, alikuwa akifanya mambo makubwa ya ajabu* na ishara kati ya watu.