Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 2:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Baada ya hayo Musa akakubali kuishi na mtu huyo, naye akampa Musa binti yake aliyeitwa Sipora+ ili amwoe. 22 Baadaye Sipora akazaa mwana, naye Musa akamwita mwana huyo Gershomu,*+ kwa sababu alisema: “Nimekuwa mkaaji mgeni katika nchi ya kigeni.”+

  • Kutoka 18:2-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yethro, baba mkwe wa Musa, alikuwa amemchukua Sipora mke wa Musa ili amtunze, Sipora aliporudishwa 3 pamoja na wanawe wawili.+ Mwana mmoja aliitwa Gershomu,*+ kwa sababu Musa alisema, “Nimekuwa mkaaji mgeni katika nchi ya kigeni,” 4 na yule mwingine aliitwa Eliezeri,* kwa sababu Musa alisema, “Mungu wa baba yangu ni msaidizi wangu, aliyeniokoa kutokana na upanga wa Farao.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki