Matendo 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sasa wale waliokuwa wametawanyika+ kwa sababu ya dhiki iliyotokea kuhusiana na Stefano, wakaenda mpaka Foinike, Kipro, na Antiokia, lakini walitangaza lile neno kwa Wayahudi tu.+
19 Sasa wale waliokuwa wametawanyika+ kwa sababu ya dhiki iliyotokea kuhusiana na Stefano, wakaenda mpaka Foinike, Kipro, na Antiokia, lakini walitangaza lile neno kwa Wayahudi tu.+