Matendo 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Walipokuwa wakimhudumia* Yehova* na kufunga, roho takatifu ikasema: “Wawekeni kando kwa ajili yangu Barnaba na Sauli+ kwa kazi ambayo nimewaitia.”+ Waroma 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Paulo, mtumwa wa Kristo Yesu aliyeitwa awe mtume na kuwekwa kando kwa ajili ya habari njema ya Mungu,+ 1 Timotheo 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ninamshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona kuwa mwaminifu kwa kunipa huduma,+
2 Walipokuwa wakimhudumia* Yehova* na kufunga, roho takatifu ikasema: “Wawekeni kando kwa ajili yangu Barnaba na Sauli+ kwa kazi ambayo nimewaitia.”+
1 Paulo, mtumwa wa Kristo Yesu aliyeitwa awe mtume na kuwekwa kando kwa ajili ya habari njema ya Mungu,+
12 Ninamshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona kuwa mwaminifu kwa kunipa huduma,+