11 Bwana akamwambia: “Ondoka, uende kwenye barabara inayoitwa Nyoofu, umtafute mwanamume anayeitwa Sauli, kutoka Tarso,+ kwenye nyumba ya Yuda. Kwa maana tazama! anasali,
15 Lakini Bwana akamwambia: “Nenda! kwa sababu mtu huyu ni chombo nilichokichagua+ ili kupeleka jina langu kwa mataifa+ na pia kwa wafalme+ na wana wa Israeli.