Mathayo 28:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini malaika akawaambia wale wanawake: “Msiogope, kwa maana ninajua mnamtafuta Yesu aliyeuawa kwenye mti.+ 6 Hayupo hapa, kwa maana amefufuliwa kama alivyosema.+ Njooni, tazameni mahali alipokuwa amelala. Marko 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akawaambia: “Msishtuke.+ Mnamtafuta Yesu Mnazareti, aliyeuawa kwenye mti. Amefufuliwa.+ Hayupo hapa. Tazama, hapa ndipo walipomlaza.+
5 Lakini malaika akawaambia wale wanawake: “Msiogope, kwa maana ninajua mnamtafuta Yesu aliyeuawa kwenye mti.+ 6 Hayupo hapa, kwa maana amefufuliwa kama alivyosema.+ Njooni, tazameni mahali alipokuwa amelala.
6 Akawaambia: “Msishtuke.+ Mnamtafuta Yesu Mnazareti, aliyeuawa kwenye mti. Amefufuliwa.+ Hayupo hapa. Tazama, hapa ndipo walipomlaza.+