7 Kwa hiyo, neno la Mungu likazidi kuenea,+ na idadi ya wanafunzi ikazidi kuongezeka sana+ huko Yerusalemu; na umati mkubwa wa makuhani wakawa waamini.+
6 ambayo imekuja kwenu. Kama vile habari njema inavyozaa matunda na kuongezeka ulimwenguni kote,+ ndivyo pia inavyofanya miongoni mwenu, tangu siku mliposikia na kujua kwa usahihi fadhili zisizostahiliwa za Mungu katika kweli.