Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 27:59, 60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Yosefu akauchukua mwili huo, akaufunga kwa kitani bora kilicho safi,+ 60 akaulaza katika kaburi lake jipya,*+ alilokuwa amechimba katika mwamba. Kisha akaviringisha jiwe kubwa kwenye mwingilio wa lile kaburi,* akaondoka.

  • Yohana 19:40-42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Basi wakauchukua mwili wa Yesu na kuufunga kwa vitambaa vya kitani pamoja na manukato,+ kulingana na desturi ya mazishi ya Wayahudi. 41 Ilitukia kwamba kulikuwa na bustani mahali alipouawa,* na katika bustani hiyo kulikuwa na kaburi*+ jipya ambamo hakuna mtu alikuwa amewahi kulazwa. 42 Kwa sababu ilikuwa siku ya Matayarisho+ ya Wayahudi na kaburi lilikuwa hapo karibu, wakamlaza Yesu humo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki